CPA Nicodemus D. Mkama
Nicodemus D. Mkama photo
CPA Nicodemus D. Mkama
Mjumbe wa Baraza

Barua pepe:

Simu:

Wasifu

AFISA MTENDAJI MKUU, MAMLAKA YA MASOKO YA MITAJI NA DHAMANA  – CMSA, CPA. NICODEMAS DEOGRATIUS MKAMA

 

  • Mjumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, aliteuliwa mwaka 2023.

ELIMU

  • Shahada ya pili ya Utawala wa Biashara katika Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam

NAFASI NYINGINE ALIZOSHIKA

  • Mkurugenzi wa Utafiti, Sera na Mipango kuanzia 2015 mpaka 2017
  • Meneja wa Uendelezaji wa Masoko CMSA kuanzia 2013 mpaka 2015
  • Meneja wa Fedha wa CMSA kuanzia 2007 mpka 2013
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo