ENGLISH
KISWAHILI
FAQs
Barua Pepe za Watumishi
Wasiliana nasi
e-Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Historia
Dira na Dhima
Misingi ya Taasisi
Majukumu
Utawala
Muundo wa Taasisi
Menejimenti
Wajumbe wa Baraza
Huduma Zetu
Kusimamia Mifumo ya Uwezeshaji
Kuratibu Uwezeshaji Nchini
Kuratibu Ushiriki wa Watanzania katika Uwekezaji
Kuratibu Mifuko ya Uwezeshaji
Kuratibu Vituo vya Uwezeshaji
Kuratibu Vikundi vya Kijamii vya Kifedha
kuratibu Majukwaa ya Wanawake
Kuratibu Uendelezaji wa Ujasiriamali
Ufuatiliaji na Tathmini ya Sera ya Uwezeshaji
Mapitio ya Sheria
Kukuza matokeo ya Utafiti
Programu
IMASA
Programu ya Mpango wa Kuendeleza Viwanda Vidogo na vya Kati
PROGRAMU YA URASIMISHAJI WA BIASHARA
Machapisho
Sheria
Sera
Mipango na Mikakati
Hotuba
Viwango na Miongozo
Taarifa
Majarida
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Kituo Cha Habari
Maktaba ya Video
Maktaba ya Picha
FAQs
Barua Pepe za Watumishi
Wasiliana nasi
e-Mrejesho
Kikao cha 19 cha kamati ya mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi kilichojumuisha wajumbe kutoka Taasisi mbalimbali iliyokutana kwa pamoja Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro. Kikao hiki kinalengo la kujadili Maendeleo ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini ikiwemo Mifuko inayotoa Mikopo, Dhamana, Ruzuku na Programu za Uwezeshaji. Washiriki wa Kikao hiki ni wajumbe wote wa kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, waratibu wa Mifuko na Programu za Uwezeshaji na wataalam wa TEHAMA Wajumbe walipata fursa ya kuona Mfumo Jumuishi wa Utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji (NATIONAL EMPOWERMENT MANAGEMENT INFORMATION SYSTEM) -NEMIS
Kikao kati ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na Mamlaka ya Ununuzi wa Umma (PPRA) chenye Lengo la kuimarisha na kuendeleza mashirikiano ya pamoja (MoU)
Kikao cha wakuu wa taasisi zinazoratibu utekelezaji wa mpango wa SANVN Viwanda Scheme kilifanyika tarehe 21 Julai, 2025 katika ukumbi wa NSSF, Dar es Salaam. Lengo kuu la kikao kilikuwa ni kutathmini mwenendo wa utekelezaji wa mpango wa SANVN Viwanda Scheme nchini Tanzania, pamoja na kupitia mafanikio, changamoto na fursa zilizopo katika kuboresha utekelezaji wake. Mpango wa SANVN Viwanda Scheme ulianzishwa kwa nia ya kukuza na kuimarisha viwanda vidogo na vya kati nchini, kwa lengo la kuchochea ukuaji wa uchumi, kuongeza ajira na kuongeza thamani ya uzalishaji wa ndani. Mpango huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa taasisi tano kuu za serikali ambazo ni: SIDO, Benki ya Azania, NSSF, VETA na NEEC.
Ziara ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) ya kujifunza kuhusiana na Uratibu wa Shughuli za Uwezeshaji zinazofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kupitia Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini.
Ziara ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) ya kujifunza kuhusiana na Uratibu wa Shughuli za Uwezeshaji zinazofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kupitia Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini.
Ziara ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) ya kujifunza kuhusiana na Uratibu wa Shughuli za Uwezeshaji zinazofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kupitia Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini.
Ziara ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) ya kujifunza kuhusiana na Uratibu wa Shughuli za Uwezeshaji zinazofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kupitia Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini.
Mkutano wa 5 wa Kamati ya Ushiriki wa Watanzania katika Mradi wa EACOP wafanyika katika ofisi za NEEC - Dodoma
NEEC ikitoa huduma kwa Wananchi katika maonesho ya 49 ya sabasaba ndani ya banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Mkoani Daresalaam
NEEC yatoa mafunzo ya uendelezaji wa biashara na fursa za kiuchumi kwa jamii ya wamaasai waishio Msomera, Wilayani Handeni Mkoani Tanga
Previous
Next
CPA BENG'I M. ISSA
KATIBU MTENDAJI
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
WAJUMBE WA BODI YA NEEC PAMOJA NA MENEJIMENTI WATEMBELEA WANUFAIKA WA MIKOPO YA SANVIN VIWANDA SCHEM...
16 Jul, 2025
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LAJA NA FURSA ZA KIUCHUMI KATIKA MAONEHO YA 49 YA KI...
09 Jul, 2025
KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA TAIFA LA UWEZEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI BIBI BENG'I ISSA AWAKABIDHI WAJ...
31 May, 2025
NEEC yawajengea uwezo waratibu wa Uwezeshaji
05 Apr, 2025
Matukio
Tazama Zaidi
04
Apr 25
MKUTANO KATI YA NEEC NA WARATIBU WA UWEZESHAJI NGAZI YA WIZARA NA MIKOA
EDEMA MOROGORO
22
Oct 24
KIKAO KAZI KATI YA NEEC NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
DMDP-MNAZI MMOJA
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Baraza linafanya nini?
Sanduku la Posta la Baraza la Taifa la Uwezeshaji ni lipi
Nawezaje kukutana na Katibu Mtendaji?
Mahali
Tazama Zaidi
Feedbacks
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha