Dira na Dhima

Dira
Kuhakikisha kwamba sehemu kubwa ya Uchumi wa Nchi inamilikiwa na Watanzania wenyewe.
Dhima
Kuongoza, kuwezesha na kuratibu shughuli za uwezeshaji kiuchumi Tanzania.
Malengo
  • Kuongeza uzingatiaji katika kutekeleza masuala mtambuka katika shughuli za uwezeshaji wa kiuchumi.
  • Kuwezesha maendeleo ya fursa za uwezeshaji wa kiuchumi na kuziunganisha na walengwa.
  • Kuratibu mikakati ya kisekta katika ushirikishwaji wa Wananchi katika miradi ya kimkakati na uwekezaji na uwezeshaji wa kiuchumi na kufungua fursa za kiuchumi.
  • Kuongeza uelewa wa umma juu ya jukumu la NEEC katika kuratibu mipango ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi nchini Tanzania.
  • Kuimarisha uwezo wa NEEC katika kuratibu michakato ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.
Maadili ya Msingi ya Baraza
  • Uwajibikaji
  • Ubunifu
  • Uadilifu
  • Inayozingatia mahitaji ya watu
  • Kufanya kazi kwa umoja
  • Ushirikiano
  • Uwazi
  • Iliyojielekeza katika matokeo