Dr. John K. Mduma
John K. Mduma photo
Dr. John K. Mduma
Mjumbe wa Baraza

Barua pepe:

Simu:

Wasifu

MKURUGENZI MKUU MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, DR. JOHN MDUMA

  • Mjumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, aliteuliwa mwaka 2023.

ELIMU

  • PhD (Agr. Economics) KATIKA CHUO KIKUU CHA BONN, UJERUMANI MWAKA 2005

NAFASI NYINGINE ALIZOSHIKA

  • MWENYEKITI WA BODI KATIKA MAMLAKA YA MASOKO YA MITAJI NA DHAMANA  – CMSA KUANZIA MWAKA 2017 HADI SASA.
  • MJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI KATIKA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA KUANZIA 2014 – 2016
  • MJUMBE WA Bodi ya RUFAA ​​YA MAPATO YA KODI KUANZIA 2017 HADI SASA

 

 

Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo