FCCA Theobald M. Sabi
Theobald M. Sabi photo
FCCA Theobald M. Sabi
Mjumbe wa Baraza

Barua pepe:

Simu:

Wasifu

THEOBALD MAINGU SABI, FCCA, MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA TAIFA YA BIAHARA 

  • Mjumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, aliteuliwa mwaka 2023.

ELIMU

 

  • Shahada ya kwanza ya sayansi katika Uhandisi wa Umeme, kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2000

NAFASI NYINGINE ALIZOSHIKA

 

  • Mkurugenzi wa Biashara katika Benki ya Taifa ya Biashara kuanzia Desemba 2014 hadi Mei 2017
  • Mkuu wa Huduma kwa Wateja katika Benki ya Standard Chartered Tanzania kuanzia Novemba 2010 hadi Septemba 2014.

Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo