CPA BENG'I M. ISSA
BENG'I M. ISSA photo
CPA BENG'I M. ISSA
KATIBU MTENDAJI

Barua pepe: barua@uwezeshaji.go.tz

Simu: +255262962561

Wasifu

CPA BENG'I M. ISSA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC). Aliteuliwa na Mhe. Rais kwenye nafasi hii mnamo mwaka 2014.

  • Bi. Issa ni mjumbe wa Kamati ya Kumshauri Mhe. Rais Masuala ya usawa wa Kijinsia (GEF) tangu mwaka 2021.
  • Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Ujumuishaji wa Wanawake katika Sekta ya Fedha tangu mwaka 2021.
  • Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika Lisilo la Kiserikali la Legal Service Facility (LSF) tangu mwaka 2019.
  • Mwenyekiti wa Waanzilishi Taasisi ya Ushindani wa Ujasiriamali Tanzania (TECC) tangu mwaka 2015,
  • Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa tangu mwaka 2022.
  • Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa Soko la Hisa Hisa la Dar es Salaam (DSE) tangu mwaka 2020
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya SAGCOT Centre Ltd tangu mwaka 2022.

SIFA;

  • Ni Muhasibu aliyethibitishwa na NBAA CPA(T)  (1999),
  • Ana degree ya juu ya Sayansi ya Utawala wa Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Caledonian, Uingereza.
  • Amesoma Mzumbe na amefundisha Mzumbe University kwa miaka 9.
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo