Mahali |
UKUMBI WA PSPF - DODOMA |
---|---|
Tarehe |
2022-09-19 - 2022-09-19 |
Muda |
19/09/2022 - 19/09/2022 |
Madhumuni |
Kujadili mikakati ya Kitaifa ya uwezeshaji wananchi kiuchumi |
Event Contents |
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa (Mb) atakua Mgeni Rasmi na Mwenyekiti wa Kongamano la Sita (6) la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi litakalofanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa LAPF - 19/09/2022. Kauli Mbiu "Uwezeshaji Wananchi katika Uwekezaji" |
Washiriki |
|
Ada ya Tukio |
NIL |
Simu |
+255222137362 |
Barua pepe |
neec@uwezeshaji.go.tz |