Maonesho ya nne ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji - Arusha
Mahali |
Arusha - Tanzania |
---|---|
Tarehe |
2021-02-07 - 2021-02-13 |
Muda |
Saa 2:00 Asubuhi - Saa 10:00 Jioni |
Madhumuni |
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Kuimarisha huduma zitolewazo na Vikundi vya Kifedha kwa Wajasiriamali. |
Event Contents |
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi linaratibu maonesho ya nne ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji, Vikundi vya Kifedha na Wajasiriamali katika kanda ya kaskazini yatakayofanyika katika Mkoa wa Arusha viwanja vya Azimio. |
Washiriki |
OWM, Wadau mbalimbali, Wajasiriamali, Vikundi vya Kifedha, Taasisi za Serikali na Sekta Binafsi. |
Simu |
+255 22 2125596 |
Barua pepe |
neec@uwezeshaji.go.tz |