Matukio

PIGA KURA KWA KUPENDEKEZA MJASIRIAMALI

Kongamano la sita(6) la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi linajumuisha utoaji wa tuzo kwa wadau waliofanya vizuri zaidi katika kuwawezesha wananchi kiuchumi katika mwaka 2021/2022. Tuzo hizi zitatolewa... Soma zaidi

31st Aug 2022 ONLINE

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa (Mb) atakua Mgeni Rasmi na Mwenyekiti wa Kongamano la Sita (6) la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi litakalofanyika Jijini... Soma zaidi

19th Sep 2022 UKUMBI WA PSPF - DODOMA
MAONESHO YA TANO YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI 2022

Mgeni Rasmi katika Maonesho haya atakuwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa

Maonesho haya yatafanyika kwa siku saba mfululizo katika uwanja wa Jamhuri M... Soma zaidi

08th May 2022 Morogoro - Uwanja wa Jamhuri
Kongamano la tatu la kitaifa la Local Content

Kongamano la tatu la kitaifa la Local Content

Soma zaidi

13th Dec 2021 UDSM New Library Auditorium - Dar es Salaam
Maonesho ya nne ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji - Arusha

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi linaratibu maonesho ya nne ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji, Vikundi vya Kifedha na Wajasiriamali katika kanda ya kaskazini yatakayofanyika katik... Soma zaidi

07th Feb 2021 Arusha - Tanzania
Kongamano la Uwezeshaji

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi linatarajia kufanya Kongamano la nne la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi tarehe 15 Juni 2019 Mjini Dodoma na kuhudhuriwa na wadau wasiopungua 300 kutoka... Soma zaidi

15th Jun 2019 Dodoma