• Wasiliana Nasi
  • Maswali
  • Ramani Ya Tovuti
  • En
  • Sw
emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
National Economic Empowerment Council

Logo
  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Baraza
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Wajumbe wa Baraza
    • Menejimenti
    • Vituo vya Uwezeshaji
  • Huduma
    • Uendelezaji wa Ujasiriamali
    • Kuratibu Mifuko ya Uwezeshaji
    • Kuratibu Uwezeshaji
    • Kuratibu Ushiriki wa Watanzania Katika Uwekezaji
    • Mapitio ya Sheria
    • Uratibu wa Vikundi vya Kijamii
    • Kukuza Matokeo ya Utafiti
    • Kusimamia Mifumo ya Habari na Uwezeshaji
    • Ufuatiliaji na Tathimini ya Uwezeshaji
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria na Sera
    • Mipango Mikakati
    • Fomu na Miongozo
    • Jarida
  • Programu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim M. Majaliwa akizundua ripoti ya utekelezaji wa sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi 2021//2022 Picha ya pamoja, Meza kuu na sehemu ya wafanyakazi wa NEEC (Kongamano la 6 la Uwezeshaji) 2022 Mhe. Ashatu Kijaji akikabidhi funguo ya mashine ya kuvunia kutoka EFTA kwa mmoja wa wanufaika wa mikopo ya vifaa katika maonesho ya 5 ya mifuko - Morogoro Kamati ya ulinzi na usalama ikikagua hali ya usalama katika maonesho ya tano ya mifuko mifuko Mkoani Morogoro 2022 Picha ya pamoja Katibu Mtendaji, Watumishi wa NEEC na Waratibu wa Madawati ya uwezeshaji wa Mikoa Picha ya pamoja - meza kuu na kamati ya maandalizi ya kongamano la tatu la Local Content Kongamano maalum la wanawake - women in action 2021 Jijini Dar es Salaam Katibu Mtendaji Bibi Beng’i Issa (wa nne kutoka kushoto) akiwa pamoja na wazungumzaji wengine baada ya mjadala ulioangazia utawala wa sheria na mchango wake katika kupunguza umaskini na kuleta usawa. Picha ya Pamoja Kati ya Katibu Mtendaji wa NEEC, Viongozi wa IMED na Wanufaika wa mradi wa IMED. Katibu Mtendaji wa NEEC Bibi Beng'i Issa akiongoza kikao cha sita cha Taasisi mwamvuli za Vikundi vya Kijamii VICOBA Picha ya pamoja, NEEC, SANLAM na wadau wa VIKOBA baada ya kusaini hati ya makubaliano Bima ya Vikundi Katibu Mtendaji wa NEEC Bibi Beng'i Issa akizungumza na Wajasiriamali katika mafunzo yaliyoandaliwa sambamba na maonesho ya Nne ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim akionesha nakala za Taarifa ya Uwezeshaji Wananachi Kiuchumi Mwaka wa Fedha ulioishia 30 Juni 2020 Picha ya pamoja baada ya Uzinduzi wa Programu ya Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara wa Geita (Geita Enterprise Development Program GEDP) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim alipopita meza ya NEEC baada ya ufunguzi wa maonesho ya 5 ya bidhaa zinazozalishwa na Viwanda vya Tanzania. Katibu Mtendaji wa NEEC Bibi Beng'i Issa akizindua Mradi wa Kilimo na Ujenzi wa Ofisi ya Taasisi ya Vicoba wa Uyacode Wilaya ya Chalinze Mkoa wa Pwani. Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi likiongozwa na Katibu Mtendaji Bibi Beng'i Issa lilipotembelea Mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa – SGR Picha ya pamoja baada ya mafunzo ya kanzidata ya uwezeshaji yaliyoendeshwa na Bizlogic Solutions Jijini Dar es Salaam Kongamano la Kitaifa la Ushiriki wa Watanzania Kwenye Miradi ya Kimkakati lililofanyikia jijini Dodoma katika ukumbi wa mkutano wa LAPF tarehe 20/09/2019 Kongamano la nne la Uwezeshaji 2019
Karibu
[175x175]

Karibu kwenye tovuti ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC). NEEC ilianzishwa mwaka 2005 ili kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Kiuchumi ya mwaka 2004. Katika mwaka huo huo Sheria ya Taifa ya Uwezeshaji Kiuchumi ilianzishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuipa nguvu ya kisheria utekelezaji wa Sera. Tovuti hii inatoa maelezo ya kina kuhusu NEEC, kazi zake muhimu,...

Habari & Matukio
[75x75]
03
Mar
Katibu mtendaji wa NEEC Bibi Being'i Issa akitoa taarifa za maendeleo ya baraza na majukumu yake. J......
[75x75]
08
Dec
Mafunzo ya Wajumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi...
[75x75]
08
Nov
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LAWATAKA WADAU KUJIUNGA NA KANZIDATA YA UWEZESHAJI Y......
Ushiriki wa Watanzania
  • Uratibu wa Ushiriki wa Watanzania Kwenye Uwekezaji
Tovuti Mashuhuri
  • Kanzidata Ya Uwezeshaji
  • Tanzania Youth Coalition
  • Bunge la Tanzania
  • Benki Kuu ya Tanzania
  • Kituo cha Uwekezaji
  • Zaidi
Videos
Testimonies
[90x90]
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Ashatu Kijaji - Maonesho ya 5 ya Mifuko Morogoro "Baraza la Uwezeshaji linafanya kazi nzuri hususan katika kuratibu shughuli za uwezeshaji kama kufanya maonesho ya mifuko amb...
[90x90]
‘’Tunashukuru sana ushirikiano tuliopewa na Baraza la Uwezeshaji katika kufanikisha leo kuweza kuzindua Ushirika wa Makampuni ya Matangazo ya Biashara hapa nchini ambapo tunaamini itatuwezesha kushiriki kwa mapana zaidi...
[90x90]
Mh. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania ‘’Nalipongeza Baraza la Taifa la Uwezeshaji kwa kazi nzuri ya kuratibu uanzishwaji wa madawati ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmasha...
Mawasiliano
  • Anwani/Mahali
    Nzuguni - Viwanja vya Nanenane, S.L.P 792 Dodoma
  • Tupigie
    +255262962561/+255262962562
  • Hotline
    +255262962562
  • Barua pepe
Kurasa za Karibu
  • Miongozo ya Uwekezaji ya Mikoa
  • Kituo cha Uwezeshaji cha Kahama
  • Maktaba ya Picha
  • Majukumu ya Baraza
  • Dira na Dhima
Newsletter

Subscribe

Jina Kamili
Barua pepe

Mitandao ya Kijamii
  • Followers
  • Followers
  • Followers
  • Followers
  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • labels.lbl_terms_conditions
  • labels.lbl_copyright_statement
  • Angalizo
Ownership. © National Economic Empowerment Council . Haki zote zimehifadhiwa.
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na National Economic Empowerment Council
Tanzania Census 2022