ENGLISH
KISWAHILI
FAQs
Barua Pepe za Watumishi
Wasiliana nasi
e-Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Waziri Mkuu
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Historia
Dira na Dhima
Misingi ya Taasisi
Majukumu
Utawala
Muundo wa Taasisi
Menejimenti
Wajumbe wa Baraza
Huduma Zetu
Kusimamia Mifumo ya Uwezeshaji
Kuratibu Uwezeshaji Nchini
Kuratibu Ushiriki wa Watanzania katika Uwekezaji
Kuratibu Mifuko ya Uwezeshaji
Kuratibu Vituo vya Uwezeshaji
Kuratibu Vikundi vya Kijamii vya Kifedha
kuratibu Majukwaa ya Wanawake
Kuratibu Uendelezaji wa Ujasiriamali
Ufuatiliaji na Tathmini ya Sera ya Uwezeshaji
Mapitio ya Sheria
Kukuza matokeo ya Utafiti
Programu
IMASA
Programu ya Mpango wa Kuendeleza Viwanda Vidogo na vya Kati
PROGRAMU YA URASIMISHAJI WA BIASHARA
Machapisho
Sheria
Sera
Mipango na Mikakati
Hotuba
Viwango na Miongozo
Taarifa
Majarida
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Kituo Cha Habari
Maktaba ya Video
Maktaba ya Picha
FAQs
Barua Pepe za Watumishi
Wasiliana nasi
e-Mrejesho
Aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bibi. Beng’I Issa ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mbunge Viti Maalum na Kuapishwa rasmi katika Kikao cha Sita cha Mkutano wa Pili wa Bunge la 13,Februari 3, 2026.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiunchumi (NEEC) Bibi. Beng'i Issa akiwa katika Ziara ya Kikazi ya Kutembelea Kituo cha Ubunifu kilichopo ndani ya Chuo cha Uhasibu Arusha.
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limetambulisha na kuendesha mafunzo ya Mfumo Shirikishi wa Kitaifa wa utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji (NEMIS) jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Peacock Hotel-Mnazi Mmoja. Baraza limeendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na wataalam kutoka Taasisi ya Serikali Mtandao (eGa).
Wajumbe wa Bodi ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Pamoja na Menejimenti kwenye Muendelezo wa Kutembelea Miradi iliyopata Mikopo kupitia Program ya SANVN Scheme
Wajumbe wa Bodi ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Pamoja na Menejimenti kwenye Muendelezo wa Kutembelea Miradi iliyopata Mikopo kupitia Program ya SANVN Scheme
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), limeendesha mafunzo ya siku moja kwa waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es salaam katika ukumbi wa hoteli ya Peacock, lengo ni kuwajengea uwezo waandishi wa habari juu ya kazi zinazofanywa na Baraza katika usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya mwaka 2004.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiunchumi (NEEC) Bibi. Beng’i Issa akiwa katika Ziara ya Kikazi ya Kutembelea Kituo cha Uwezeshaji cha Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Ziara ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) ya kujifunza kuhusiana na Uratibu wa Shughuli za Uwezeshaji zinazofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi (NEEC) kupitia Mifuko na Programu za Uwezeshaji hapa nchini.
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) lafanya kikao kazi na Mamlaka ya Uwekezaji na maeneo maalum ya uzalishaji (TISEZA) katika Ofisi za Baraza zilizopo katika viwanja vya maonesho Nane Nane Mkoani Dodoma, lengo kuu ni kuweza kuona namna Taasisi hizi zinaweza kushirikiana katika kuwawezesha Watanzania kukuwa katika sekta ya Uchumi.
Kikao kilichowakutuanisha kamati ya Uratibu na Utafiti kutoka Wizara ya Kilimo, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na Tume ya Taifa ya Mipango kilichoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ili kujadili matokeo ya tafiti zinazohusiana na maswala ya Uwezeshaji kiuchumi pamoja na namna NEEC inavyoweza kuunganishwa na Taasisi za tafiti na Vituo Vikuu.
Previous
Next
Bw Gwakisa A. Bapala
KAIMU KATIBU MTENDAJI
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
UZINDUZI WA MWONGOZO WA KITAIFA WA VITUO VYA UENDELEZAJI WA BIASHARA.
23 Dec, 2025
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI KIUCHUMI LAENDESHA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI
10 Oct, 2025
MAFUNZO YA MFUMO SHIRIKISHI WA KITAIFA WA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA SERA YA TAIFA YA UWEZESHAJI
07 Oct, 2025
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LASHIRIKI KONGAMANO LA WAFANYABIASHARA WADOGO MKOANI...
29 Sep, 2025
Matukio
Tazama Zaidi
02
Apr 26
UZINDUZI WA MFUKO WA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI KATIKA KUTEKELEZA AHADI YA BILIONI 200
JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTRE
04
Apr 25
MKUTANO KATI YA NEEC NA WARATIBU WA UWEZESHAJI NGAZI YA WIZARA NA MIKOA
EDEMA MOROGORO
22
Oct 24
KIKAO KAZI KATI YA NEEC NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
DMDP-MNAZI MMOJA
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Baraza linafanya nini?
Sanduku la Posta la Baraza la Taifa la Uwezeshaji ni lipi
Nawezaje kukutana na Katibu Mtendaji?
Mahali
Tazama Zaidi
Feedbacks
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha